2 Laiti ningepata mahali ambapo wasafiri hulala nyikani!
Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao,
Kwa maana wote ni wazinzi,+
Kundi la watu wenye hila.
3 Wanaupinda ulimi wao kama upinde;
Uwongo, badala ya uaminifu, umeenea nchini.+
“Wanatoka uovu hadi uovu zaidi,
Nao hawanisikilizi,”+ asema Yehova.