Isaya 25:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.