Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+
34 Mtumaini Yehova na ufuate njia yake,Naye atakukweza uimiliki dunia. Waovu watakapoangamizwa,+ utaona jambo hilo.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+