Isaya 57:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Ninaumba matunda ya midomo. Yule aliye mbali sana atapewa amani ya kudumu na pia yule aliye karibu,”+ asema Yehova,“Nami nitamponya.” Yeremia 33:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Ninamponya na kumpa afya,+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama nilivyofanya mwanzoni.+
19 “Ninaumba matunda ya midomo. Yule aliye mbali sana atapewa amani ya kudumu na pia yule aliye karibu,”+ asema Yehova,“Nami nitamponya.”
6 ‘Ninamponya na kumpa afya,+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama nilivyofanya mwanzoni.+