-
Yeremia 17:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Yehova anasema hivi:
“Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+
Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+
Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
6 Atakuwa kama mti ulio peke yake jangwani.
Hataona mema yatakapokuja,
Lakini atakaa mahali pakavu nyikani,
Katika nchi yenye chumvi ambayo hakuna mtu anayeweza kuishi ndani yake.
-