Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa mimea ya kitani na shayiri ilikuwa imeharibiwa kabisa na mvua, kwa sababu mimea ya shayiri ilikuwa na masuke na mimea ya kitani ilikuwa imechanua maua. 32 Lakini ngano na kusemethi* haikuwa imeharibiwa, kwa sababu haikuwa imekomaa.*

  • Ezekieli 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Na uchukue ngano, shayiri, maharagwe mapana, dengu, mtama, na kusemethi, nawe uvitie katika chombo kimoja na ujitengenezee mkate. Kwa idadi ya siku unazolalia upande wako, siku 390, utaula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki