31 Sasa mimea ya kitani na shayiri ilikuwa imeharibiwa kabisa na mvua, kwa sababu mimea ya shayiri ilikuwa na masuke na mimea ya kitani ilikuwa imechanua maua. 32 Lakini ngano na kusemethi* haikuwa imeharibiwa, kwa sababu haikuwa imekomaa.*
9 “Na uchukue ngano, shayiri, maharagwe mapana, dengu, mtama, na kusemethi, nawe uvitie katika chombo kimoja na ujitengenezee mkate. Kwa idadi ya siku unazolalia upande wako, siku 390, utaula.+