Isaya 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mambo hayo mawili yamekupata. Ni nani atakayekusikitikia? Maangamizi na uharibifu, njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji?+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.
19 Mambo hayo mawili yamekupata. Ni nani atakayekusikitikia? Maangamizi na uharibifu, njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji?+
4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.