Isaya 45:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova, Mtakatifu wa Israeli na Muumba wake,+ anasema hivi: “Je, mnathubutu kuniuliza kuhusu mambo yanayokujaNa kuniamuru kuhusu wanangu+ na kuhusu kazi za mikono yangu?
11 Yehova, Mtakatifu wa Israeli na Muumba wake,+ anasema hivi: “Je, mnathubutu kuniuliza kuhusu mambo yanayokujaNa kuniamuru kuhusu wanangu+ na kuhusu kazi za mikono yangu?