Hosea 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Waefraimu watasema, ‘Tunahitaji tena sanamu za nini?’+ Nitawajibu na kuwalinda.+ Nitakuwa kama mberoshi unaositawi. Mtapata matunda yenu kutoka kwangu.” Zekaria 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitafuta majina ya sanamu kutoka nchini,+ nayo hayatakumbukwa tena; nami nitawaondoa kabisa manabii+ na pia roho ya uchafu kutoka nchini.
8 Waefraimu watasema, ‘Tunahitaji tena sanamu za nini?’+ Nitawajibu na kuwalinda.+ Nitakuwa kama mberoshi unaositawi. Mtapata matunda yenu kutoka kwangu.”
2 “Siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitafuta majina ya sanamu kutoka nchini,+ nayo hayatakumbukwa tena; nami nitawaondoa kabisa manabii+ na pia roho ya uchafu kutoka nchini.