Isaya 60:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Jua lako halitatua tena,Wala mwezi wako hautafifia,Kwa maana Yehova atakuwa nuru yako ya milele,+Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimekwisha.+ Ufunuo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+ Ufunuo 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+
20 Jua lako halitatua tena,Wala mwezi wako hautafifia,Kwa maana Yehova atakuwa nuru yako ya milele,+Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimekwisha.+
23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+
5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+