2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika mwaka wa 14 wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru+ alipanda kuja kuyashambulia majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+ Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
13 Katika mwaka wa 14 wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru+ alipanda kuja kuyashambulia majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+
5 “Aha! Mwashuru,+Fimbo ya kuonyesha hasira yangu,+Na gongo lililo mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!