Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yalikuwa katika msukosuko, falme zilipinduliwa;Alipaza sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Zaburi 68:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Mungu na ainuke, maadui wake na watawanyike,Wale wanaomchukia na wakimbie kutoka mbele zake.+ Isaya 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mataifa yatatoa sauti kama mngurumo wa maji mengi. Atayakemea, nayo yatakimbia mbali sana,Yakifukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepoKama mchongoma unaopeperushwa na* upepo wa dhoruba.
13 Mataifa yatatoa sauti kama mngurumo wa maji mengi. Atayakemea, nayo yatakimbia mbali sana,Yakifukuzwa kama makapi ya milima mbele ya upepoKama mchongoma unaopeperushwa na* upepo wa dhoruba.