Isaya 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika muda mfupi, Lebanoni itageuzwa kuwa shamba la matunda,+Na shamba hilo la matunda litaonwa kuwa msitu.+ Isaya 32:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+
17 Katika muda mfupi, Lebanoni itageuzwa kuwa shamba la matunda,+Na shamba hilo la matunda litaonwa kuwa msitu.+
14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+Na nyika iwe shamba la matunda,Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+