Ufunuo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wafalme wa dunia, maofisa wa cheo cha juu, viongozi wa kijeshi, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa, na kila mtu aliye huru wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.+
15 Na wafalme wa dunia, maofisa wa cheo cha juu, viongozi wa kijeshi, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa, na kila mtu aliye huru wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.+