Isaya 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche mavumbiniKwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu.+ 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake,
10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche mavumbiniKwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu.+
9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake,