Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mfalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali kuhusu jambo hilo na kuzililia mbingu ili wapate msaada.+

  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nililie wakati wa taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Yoeli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kati ya ukumbi na madhabahu+

      Acheni makuhani, wahudumu wa Yehova, walie na kusema:

      ‘Ee Yehova, wahurumie watu wako;

      Usifanye urithi wako uwe kitu cha kudharauliwa,

      Kwa kuacha mataifa yawatawale.

      Kwa nini mataifa yaseme: “Yuko wapi Mungu wao?”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki