-
2 Wafalme 19:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kwa hiyo watumishi wa Mfalme Hezekia wakaenda kwa Isaya,+ 6 naye Isaya akawaambia: “Mwambieni hivi bwana wenu, ‘Yehova anasema hivi: “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia, maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru waliyasema na kunikufuru.+ 7 Sasa ninatia wazo fulani akilini mwake,* naye atasikia habari na kurudi katika nchi yake mwenyewe; nami nitamuua kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.”’”+
-