2 Wafalme 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake. Isaya 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Iko wapi miungu ya Hamathi na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imeokoa Samaria kutoka mikononi mwangu?+
24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake.
19 Iko wapi miungu ya Hamathi na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imeokoa Samaria kutoka mikononi mwangu?+