Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:32-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Kwa hiyo Yehova anasema hivi kuhusu mfalme wa Ashuru:+

      “Hataingia katika jiji hili+

      Wala hatapiga mshale humo

      Wala kulikabili kwa ngao

      Wala kujenga boma la kulizingira.+

      33 Atarudi kupitia njia aliyotumia kuja;

      Hataingia katika jiji hili,” asema Yehova.

      34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+

      Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki