-
Yoshua 10:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ni siku hiyo, siku ambayo Yehova aliwashinda kabisa Waamori mbele ya Waisraeli, ndipo Yoshua alipomwambia hivi Yehova mbele ya Waisraeli:
13 Basi jua likasimama tuli na mwezi ukatulia mpaka taifa la Israeli lilipolipiza kisasi dhidi ya maadui wake. Je, haijaandikwa hivi katika kitabu cha Yashari:+ Jua lilisimama tuli katikati ya mbingu na halikutua kwa siku nzima?
-