Zaburi 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana waliokufa hawakutaji;*Katika kaburi,* ni nani atakayekusifu?+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+