12 Mfalme Yehoyakini wa Yuda akatoka nje kwenda kukutana na mfalme wa Babiloni,+ akiwa pamoja na mama yake, watumishi wake, wakuu wake, na maofisa wa makao yake;+ na mfalme wa Babiloni akamchukua mateka katika mwaka wa nane wa utawala wake.+
49 Na kwa ombi la Danieli, mfalme akawaweka Shadraki, Meshaki, na Abednego+ kuwa wakuu wa usimamizi wa mkoa wa* Babiloni, lakini Danieli alifanya kazi katika makao ya mfalme.
29 Ndipo Belshaza akatoa amri, nao wakamvisha Danieli mavazi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwake; wakatangaza kwamba atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.+