-
Yeremia 32:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 “‘Mashamba yatanunuliwa kwa pesa, hati za ununuzi zitaandikwa na kutiwa muhuri, nao mashahidi wataitwa katika nchi ya Benjamini,+ katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu, katika majiji ya Yuda,+ katika majiji ya eneo lenye milima, na katika majiji ya eneo la chini,+ na katika majiji ya kusini, kwa sababu nitawarudisha mateka wao,’+ asema Yehova.”
-