Yeremia 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitaweka wachungaji juu yao ambao kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kuwa na hofu, na hakuna yeyote atakayekosekana,” asema Yehova. Ezekieli 34:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+
4 Nami nitaweka wachungaji juu yao ambao kwa kweli watawachunga.+ Hawataogopa tena wala kuwa na hofu, na hakuna yeyote atakayekosekana,” asema Yehova.
23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+