-
Yeremia 7:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Mkirekebisha kikweli njia zenu na matendo yenu; mkitekeleza haki kikweli kati ya mtu na jirani yake;+ 6 msipowakandamiza wakaaji wageni, mayatima,* na wajane;+ msipomwaga damu isiyo na hatia mahali hapa; na msipoifuata miungu mingine na kujiletea madhara;+ 7 basi nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa, katika nchi niliyowapa mababu zenu daima.”’”*
-