36 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Zebida binti ya Pedaya kutoka Ruma.
25Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni.