Yeremia 7:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema: 2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova nawe utangaze hapo ujumbe huu, ‘Sikieni neno la Yehova ninyi watu wote wa Yuda mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova.
7 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema: 2 “Simama katika lango la nyumba ya Yehova nawe utangaze hapo ujumbe huu, ‘Sikieni neno la Yehova ninyi watu wote wa Yuda mnaoingia katika malango haya ili kumwinamia Yehova.