Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yehoshafati akaambiwa hivi: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari,* kutoka Edomu,+ wamefika Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+ 3 Ndipo Yehoshafati akaogopa, akaazimia* kumtafuta Yehova.+ Basi akatangaza watu wote wa Yuda wafunge.

  • Esta 4:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Esta akamjibu hivi Mordekai: 16 “Nenda, wakusanye Wayahudi wote walio Shushani* na mfunge+ kwa ajili yangu. Msile wala kunywa kwa siku tatu,+ usiku na mchana. Mimi pia pamoja na watumishi wangu wa kike tutafunga. Kisha nitaingia kwa mfalme, jambo ambalo ni kinyume cha sheria, na ikiwa nitaangamia, acha niangamie.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki