Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova anasema hivi:

      “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+

      Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+

      Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.

  • Maombolezo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hata sasa macho yetu yamechoka kabisa tukitarajia kupata msaada bila mafanikio.+

      Tulitarajia na kutarajia kupata msaada kutoka kwa taifa ambalo halingeweza kutuokoa.+

  • Ezekieli 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na lile jeshi kubwa na wanajeshi wengi wa Farao hawatamsaidia kamwe vitani,+ wakati boma la kuzingira litakapojengwa na kuta za kuzingira zitakapojengwa ili kuangamiza uhai wa* watu wengi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki