Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova. Maombolezo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hata sasa macho yetu yamechoka kabisa tukitarajia kupata msaada bila mafanikio.+ Tulitarajia na kutarajia kupata msaada kutoka kwa taifa ambalo halingeweza kutuokoa.+ Ezekieli 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na lile jeshi kubwa na wanajeshi wengi wa Farao hawatamsaidia kamwe vitani,+ wakati boma la kuzingira litakapojengwa na kuta za kuzingira zitakapojengwa ili kuangamiza uhai wa* watu wengi.
5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
17 Hata sasa macho yetu yamechoka kabisa tukitarajia kupata msaada bila mafanikio.+ Tulitarajia na kutarajia kupata msaada kutoka kwa taifa ambalo halingeweza kutuokoa.+
17 Na lile jeshi kubwa na wanajeshi wengi wa Farao hawatamsaidia kamwe vitani,+ wakati boma la kuzingira litakapojengwa na kuta za kuzingira zitakapojengwa ili kuangamiza uhai wa* watu wengi.