29 Na Wakaldayo wanaolishambulia jiji hili wataingia na kulichoma moto jiji hili na kuliteketeza+ pamoja na nyumba ambazo juu ya paa zake watu walimtolea dhabihu Baali na kuitolea miungu mingine matoleo ya kinywaji ili kunikasirisha.’+
22 “‘Nitatoa agizo,’ asema Yehova, ‘nami nitawarudisha katika jiji hili, nao watalishambulia na kuliteka na kuliteketeza kwa moto;+ nami nitayafanya majiji ya Yuda yawe ukiwa, bila mkaaji.’”+