4 na Mfalme Sedekia wa Yuda hataponyoka kutoka kwa Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye atazungumza naye uso kwa uso na kumwona jicho kwa jicho.”+
18 Lakini usipojisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, jiji hili litatiwa mikononi mwa Wakaldayo, nao wataliteketeza kwa moto,+ nawe hutaponyoka mikononi mwao.’”+