Yeremia 39:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akamwagiza hivi Nebuzaradani mkuu wa walinzi kumhusu Yeremia: 12 “Mchukue nawe umtunze; usimdhuru, na umpe chochote atakachokuomba.”+
11 Ndipo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akamwagiza hivi Nebuzaradani mkuu wa walinzi kumhusu Yeremia: 12 “Mchukue nawe umtunze; usimdhuru, na umpe chochote atakachokuomba.”+