Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu

      Kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na maridadi,

      Zitakuwa kitu cha kutisha,

      Bila mkaaji.+

  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

  • Yeremia 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wanasimba* wananguruma dhidi yake;+

      Wameinua sauti zao.

      Waliifanya nchi yake kuwa kitu cha kutisha.

      Majiji yake yameteketezwa, hivi kwamba hakuna mkaaji.

  • Yeremia 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nitalifanya Yerusalemu kuwa rundo la mawe,+ mapango ya mbwamwitu,+

      Nami nitayafanya majiji ya Yuda yawe ukiwa, bila mkaaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki