Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+

  • Yeremia 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kisha mfalme Farao wa Misri na watumishi wake, wakuu wake, na watu wake wote,+

  • Yeremia 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hili ndilo neno ambalo Yehova alimwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni kuishambulia nchi ya Misri:+

  • Ezekieli 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Ninampa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atabeba utajiri wake na kuchukua nyara kwa wingi na kuipora; na vitu hivyo vitakuwa malipo ya jeshi lake.’

  • Ezekieli 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri;

      Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+

  • Ezekieli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kule Tehafnehesi mchana utakuwa na giza nitakapovunja nira za Misri huko.+ Nguvu zake zenye kiburi zitakwisha,+ mawingu yatamfunika, na miji yake itapelekwa utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki