-
Kumbukumbu la Torati 6:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti, na sheria ambazo Yehova Mungu wako ametoa ili ufundishwe, ili uzishike unapovuka kuingia katika nchi ambayo utaimiliki, 2 ili umwogope Yehova Mungu wako na kushika sheria zake zote na amri zake ambazo ninakuamuru wewe—wewe na mwana wako na mjukuu wako+—siku zote za maisha yako, ili uishi muda mrefu.+
-