13 “‘Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Baada ya miaka 40 nitawakusanya Wamisri kutoka katika mataifa ambako walitawanywa;+ 14 Wamisri waliotekwa nitawarudisha katika nchi ya Pathrosi,+ katika nchi waliyozaliwa, na huko watakuwa ufalme duni.