Kumbukumbu la Torati 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu. Msijikatekate+ wala kunyoa upara kwenye mapaji ya nyuso zenu* kwa ajili ya mtu aliyekufa.+ Yeremia 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakubwa kwa wadogo watakufa katika nchi hii. Hawatazikwa,Hakuna mtu atakayewaombolezea,Wala hakuna mtu atakayejikatakata wala kujitia upara kwa ajili yao.*
14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu. Msijikatekate+ wala kunyoa upara kwenye mapaji ya nyuso zenu* kwa ajili ya mtu aliyekufa.+
6 Wakubwa kwa wadogo watakufa katika nchi hii. Hawatazikwa,Hakuna mtu atakayewaombolezea,Wala hakuna mtu atakayejikatakata wala kujitia upara kwa ajili yao.*