Isaya 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+
5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+