-
2 Wafalme 3:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Walipoingia katika kambi ya Israeli, Waisraeli wakatoka na kuanza kuwaua Wamoabu, nao wakawakimbia.+ Waisraeli wakazidi kuingia Moabu, wakawaua Wamoabu kadiri walivyosonga. 25 Wakabomoa majiji, na kila mtu akatupa jiwe katika kila shamba zuri, na kulijaza mawe; wakaziba kila chemchemi ya maji+ na kuukata kila mti mzuri.+ Mwishowe ni kuta za mawe za jiji la Kir-haresethi+ pekee zilizobaki, na watu wenye makombeo wakalizunguka na kuliangamiza.
-
-
Isaya 16:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Wale waliopigwa wataomboleza kwa sababu ya keki za zabibu kavu za Kir-haresethi.+
-