Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 16:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana matuta ya Heshboni+ yamenyauka.

      Mzabibu wa Sibma,+

      Watawala wa mataifa wameyakanyaga matawi yake mekundu sana;*

      Walikuwa wamefika mpaka Yazeri;+

      Walikuwa wameenea mpaka nyikani.

      Machipukizi yake yalikuwa yameenea mpaka baharini.

       9 Hiyo ndiyo sababu nitaulilia mzabibu wa Sibma kama ninavyolilia Yazeri.

      Machozi yangu yatakulowesha ewe Heshboni na Eleale,+

      Kwa sababu vigelegele vya matunda yako ya kiangazi na vya mavuno yako vimekoma.*

  • Yeremia 48:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mwangamizaji atakuja katika kila jiji,

      Na hakuna jiji litakaloponyoka.+

      Hakika bonde litaangamia,*

      Na nchi tambarare itaharibiwa,* kama alivyosema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki