15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu,+
Siku ya taabu na maumivu makali,+
Siku ya dhoruba na ukiwa,
Siku ya giza na utusitusi,+
Siku ya mawingu na utusitusi mzito,+
16 Siku ya pembe na ya kelele za vita,+
Dhidi ya majiji yenye ngome na dhidi ya minara mirefu ya pembeni.+