Amosi 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Waamoni,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu waliwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa Gileadi ili wapanue eneo lao wenyewe.+ Amosi 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mfalme wao atapelekwa uhamishoni pamoja na wakuu wake,”+ asema Yehova.’
13 Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Waamoni,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu waliwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa Gileadi ili wapanue eneo lao wenyewe.+