3 Kimbelembele cha moyo wako kimekudanganya,+
Wewe unayeishi katika mapango ya mwamba,
Unayekaa juu, ukisema moyoni mwako,
‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’
4 Hata ukijenga makao yako juu kama tai,
Au ukiweka kiota chako kati ya nyota,
Nitakushusha chini kutoka huko,” asema Yehova.