35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+
‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”
36 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:
“Ninaitetea kesi yako,+
Nami nitakulipizia kisasi.+
Nitaikausha bahari yake na kuvikausha visima vyake.+