Isaya 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama swala anayewindwa na kama kondoo wasio na mtu wa kuwakusanyaKila mtu atarudi kwa watu wake mwenyewe;Kila mtu atakimbilia nchi yake mwenyewe.+ Yeremia 51:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Tulijaribu kumponya Babiloni, lakini hakupona. Mwacheni, twendeni kila mmoja kwenye nchi yake.+ Kwa maana hukumu yake imefika mbinguni;Iko juu kama mawingu.+
14 Kama swala anayewindwa na kama kondoo wasio na mtu wa kuwakusanyaKila mtu atarudi kwa watu wake mwenyewe;Kila mtu atakimbilia nchi yake mwenyewe.+
9 “Tulijaribu kumponya Babiloni, lakini hakupona. Mwacheni, twendeni kila mmoja kwenye nchi yake.+ Kwa maana hukumu yake imefika mbinguni;Iko juu kama mawingu.+