Yeremia 50:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Niko dhidi yako,+ ewe mkaidi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi,“Kwa maana lazima siku yako itakuja, wakati ambapo nitakufanya uwajibike.*
31 “Tazama! Niko dhidi yako,+ ewe mkaidi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi,“Kwa maana lazima siku yako itakuja, wakati ambapo nitakufanya uwajibike.*