- 
	                        
            
            Danieli 4:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
30 Mfalme alikuwa akisema: “Je, hii si Babiloni Kubwa ambayo nimeijenga mimi mwenyewe kuwa makao ya kifalme kwa nguvu zangu mwenyewe na uwezo wangu na kwa ajili ya utukufu wa ukuu wangu?”
 
 -