Yeremia 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova anasema hivi: ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova useme kuhusu* watu wote wa majiji ya Yuda wanaoingia ili kuabudu* katika nyumba ya Yehova. Waambie kila kitu ninachokuamuru; usiondoe hata neno moja. Ezekieli 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni lazima uwaambie maneno yangu, iwe watasikiliza au la, kwa maana wao ni waasi.+
2 “Yehova anasema hivi: ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova useme kuhusu* watu wote wa majiji ya Yuda wanaoingia ili kuabudu* katika nyumba ya Yehova. Waambie kila kitu ninachokuamuru; usiondoe hata neno moja.