-
Yeremia 19:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza motoni wana wao kuwa dhabihu nzima za kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuamuru wala kusema na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.”’*+
6 “‘“Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofethi au Bonde la Mwana wa Hinomu bali Bonde la Mauaji.+
-
-
Yeremia 32:35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
35 Isitoshe, walijenga mahali pa juu pa Baali katika Bonde la Mwana wa Hinomu,*+ ili kuwateketeza* motoni wana wao na mabinti wao kwa ajili ya Moleki,+ jambo ambalo sikuwaamuru,+ na ambalo halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu,* kufanya jambo kama hilo linalochukiza, na kusababisha watu wa Yuda watende dhambi.’
-