Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Usikubali mtoto wako yeyote atolewe dhabihu kwa Moleki.+ Usilichafue jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova.

  • Mambo ya Walawi 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi mwenyewe nitamkataa* mtu huyo, nami nitamwangamiza, kwa sababu amemtoa mtoto wake dhabihu kwa Moleki, ametia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulichafua jina langu takatifu.

  • Yeremia 19:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza motoni wana wao kuwa dhabihu nzima za kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuamuru wala kusema na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.”’*+

      6 “‘“Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofethi au Bonde la Mwana wa Hinomu bali Bonde la Mauaji.+

  • Yeremia 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Isitoshe, walijenga mahali pa juu pa Baali katika Bonde la Mwana wa Hinomu,*+ ili kuwateketeza* motoni wana wao na mabinti wao kwa ajili ya Moleki,+ jambo ambalo sikuwaamuru,+ na ambalo halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu,* kufanya jambo kama hilo linalochukiza, na kusababisha watu wa Yuda watende dhambi.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki