4 Madhabahu zenu zitabomolewa na vinara vyenu vya uvumba vitavunjwa,+ na waliouawa kati yenu nitawatupa chini mbele ya sanamu zenu zinazochukiza.+ 5 Nami nitazitupa maiti za watu wa Israeli mbele ya sanamu zao zinazochukiza, nami nitaitawanya mifupa yenu kuzunguka pande zote za madhabahu zenu.+